Yohane Roberts, O.S.B. (1577 - 10 Desemba 1610) alikuwa mmonaki na padri kutoka Wales aliyeuawa na serikali ya Uingereza iliyokuwa imekataza Ukatoliki nchini.
Papa Paulo VI alimtangaza mtakatifu tarehe 25 Oktoba 1970[1].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[2].
Rich TVX News Network Site
Rich TVX News Network Info
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search